Shirika la Kijogoo Group For Community Development limeanzishwa kwa kusudi ya kusaidia jamii kwa kuiweka pamoja kwa minajiri ya kushauriana na kubadirishana mawazo na uzoefu katika kuyatafuta na kuyasimamia maendeleo katika Nyanja na sekta zote kwa lengo la kuinua na kukuza uchumi wa watu kwa kuzingatia makundi yote.
No comments:
Post a Comment