Madhumuni ya Shirika

MADHUMUNI

  1. Kuikusanya jamii na kuwaelimisha kwa kuwapatia mafunzo kwa nadharia na vitendo kwa kuwapa ujuzi maarifa yatakayowasaidia ka tika kuendesha maisha yao.
  2.  Waweze kupambana na umasikini kwa njia ya kwa kujituma na kuji saidia wenyewe na kusaidia makundi mengine lengwa wakiwemo watoto,yatima,vijana wazee,wanawake na walemavu
  3. . Kuanzisha mpango wa elimu kuanzia shule za awali mpaka vyuo ili  kuwapa fursa ya kusoma kwa wale  wenye mahitaji  hayo
  4.  Kuwaweka vijana kuwa pamoja na kupata fursa ya kujadili mambo ya kimaendeleo kwa kubadilishana mawazo kama njia moja  wapo ya kujifunza.
  5. . Kuihamasisha jamii katika kutunza na kuhifadhi mazingira
  6. Kupiga vita vitendo vyote vinavyoashiria rushwa katika maeneo yote  yanayotoa huduma za kijamii pamoja na jamii kuelimishwa juu ya  haki zao na kutambua wajibu wao kwa lengo la kuinua utawala bora  kupitia utetezi na njia nyingine ikiwa ni pamoja na kutafsiri za sheria kwa kuleta uelewa kwa wote 

No comments:

Post a Comment