Dira na Dhima

     DIRA

Kuona Jamii yenye uelewa wa kufanya ufuatiliaji wa mapato na  matumizi ya Rasilimali za Umma

   DHIMA


 Kujenga uwezo wa Wananchi na Viongozi kwa Kuelimisha na  kuhamasisha kusimamia na kutekeleza Sheria,Misingi na Kanuni za utawala unaozingatia uwazi ushirikishwaji na uwajibikaji katika   matumizi mazuri ya Rasilimali za Umma kwa njia ya mafunzo   vyombo vya  habari, vipeperushi, majarida na mikutano

No comments:

Post a Comment